GAMBO: Mnaotaka Kutoa Rambirambi Mfuate Utaratibu..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amewataka wananchi na taasisi zinazoendelea kutoa rambirambi kwa familia za wanafunzi waliofariki katika ajali ya basi la wanafunzi wa Shule ya Lucky Vincent kufuata taratibu zilizowekwa ili kuepusha migongano isiyo ya lazima.

Kauli hiyo imekuja wakati jeshi la polisi mkoani Arusha likiendelea kuwahoji Meya wa jiji la Arusha Kalst Lazaro na watu wengine wanne kuhusiana na tuhuma za kutengeneza mkusanyiko usio na kibali serikali wakati wa kwenda kutoa rambirambi katika shule hiyo.

Gambo amesema masuala ya fedha yana changamoto na yasiposimamiwa vizuri lengo tarajiwa haliwezi kutimia, na kwamba serikali itaendelea kuwadhibiti wote watakaotaka kuingiza siasa kwenye majanga likiwemo la vifo vya wanafunzi.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad