AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais Emmanuel Macron amefanya ziara ya kwanza katika bara la Afrika kwa kuitembelea Mali ambako amesema Ufaransa haitarudi nyuma katika vita dhidi ya magaidi na wapiganaji wengine wa kijihadi katika nchi hiyo na eneo la Sahel.
Macron alitoa kauli hiyo jana baada ya kuwatembelea wanajeshi wa Ufaransa katika kambi yao ya Gao, kaskazini mwa nchi hiyo, ambako wanaisaidia Mali kurejesha hali ya utulivu na amani. Ufaransa imewatuma wanajeshi wake 1,600 kaskazini mwa Mali kupambana na magaidi.
Huku akiwa na mwenyeji wake Rais Ibrahim Boubacar Keita, Macron alisema mbali ya Ufaransa, Ujerumani pia itaendelea kuhakikisha kuwa magaidi hao wanashindwa. “Ujerumani wapo nasi katika operesheni hizi,” alisema.
Aidha, amesema kuwa ushirikiano wa Ufaransa na Ujerumani ni muhimu sana barani Ulaya katika masuala ya usalama lakini pia kulisaidia bara la Afrika.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK