LINAH Awajibu Waliomtukana na Picha za Nusu Uchi, Asema Waafrika Asili yetu ni Kuvaa Majani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii Lina alikuwa akihojiwa FNL ya EATV na alipoulizwa swali ni kwa nini ametupia picha akiwa amevaa hivyo alisema sio yeye wa kwanza kufanya hivyo kuna watu kibao wanafanya na watu wanawachukulia poa

Alipoambiwa sio utamaduni wetu alisema waafrika asili yao ni kuvaa majani na kujifunika sehemu ya mbele tu kwa hiyo hata kuvaa nguo full ni utamaduni wa kizungu

 SIKILIZA HAPA:
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad