MADEE Amtibua Mke wa Roma Mkatoliki..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mke wa msanii Roma Mkatoliki Nancy Mshana ameonesha kukerwa kwa kitendo cha msanii Madee kutoa kauli iliyojaa udhalilishaji kwa kusema Roma apone na aache kujilegeza.

Hayo yameibuka baada ya Nancy ku-post picha ya pamoja yeye na Roma katika mtandao wa kijamii wa instagram na kuandika maneno yenye kumtia faraja mume wake kwa kusema 'Be a friend encourage someone take time to care. Let your words heal and not wound'

"Apone basi na yeye asijilegeze kha! wanaume wa tanga bana" Ali-comment Madee

Akajibu Nancy...."Nimewaona marafiki na baadhi ya wasanii wakija kumuona, nilitegemea wewe ungekuwa wa kwanza kuja kumuona rafiki yako, ndugu yako, mtani wako lakini huu ni mwezi umekatika sijaona hata ukimpigia simu ! wala kuja kumjulia hali, hakika nimejifunza mengi sana kipindi hiki, ubarikiwe sana shemeji yangu Hamad, msalimie mtoto wetu Saida".
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad