MAKUSANYO ya Bilioni 76 Yavunja Rekodi Wizara ya Ardhi..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Serikali imefanikiwa kukusanya Sh76bilioni cha makusanyo ya kodi ya pango la ardhi hadi kufikia tarehe 13 Mei 2017 kiwango ambacho hakijawahi kufikiwa.

Akiongea katika mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi leo,  Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi,   Dk Yamungu Kayandabila amesema kiwango cha makusanyo ya kodi ya ardhi hakijawahi kufikiwa ukilinganisha na miaka ya nyuma ambapo kwa sasa Wizara imekusanya Sh76 bilioni cha kodi ya pango la ardhi.

 “Juhudi za kukusanya kodi ya pango la ardhi kwa viwanja vilivyopimwa zinaendelea vizuri licha ya changamoto iliyopo hususan mwamko wa wananchi katika kulipa kodi.” amesema Dkt. Kayandabila.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad