AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kibabu Fleva rafiki wa karibu wa marehemu Dogo Mfaume amefunguka na kusema msanii huyo alipooza upande mmoja na katika hatua za mwisho alikuwa amepoteza kabisa kumbukumbu.
Kibabu Fleva anadai Dogo Mfaume alikuwa afanyiwe upasuaji wa kichwa lakini kabla ya hatua kufanyika akapoteza maisha. Mazishi ya Dogo Mfaume yanatarajia kufanyika leo Ijumaa maeneo ya Gongolamboto.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK