AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Raia wa Colombia, Sandar Milena (30) ametafuna na kumeza Yuro 7,000 sawa na Sh17 milioni alizokuwa ameweka akiba baada ya kugunduwa mumewe ana mchepuko.
Imeelezwa kuwa Milena amefanya hivyo kwa makusudi ili mumewe asizitumie na mchepuko wake.
Hata hivyo baada ya kutafuna na kumeza noti moja baada ya nyingine, Milena aliumwa na tumbo na kukimbizwa hospitali.
Kwa mujibu wa shirika ya utangazaji la BBC ni kuwa Milena alifikishwa hospitalini na kufanyiwa upasuaji.
Mkurugenzi wa upasuaji katika hospitali ya Chuo Kikuu cha Santander, Juan Serrano amesema Milena alifanyiwa upasuaji na fedha hizo zikatolewa.
“Alifanya hivyo kutokana na tatizo lililomkabili ila tumefanikiwa kutoa baadhi noti zikiwa nzima katika utumbo mkubwa lakini nyingine zimeharibika,”amesema.
Mkurugenzi huyo amesema Milena anaendelea vizuri na afya yake inatarajiwa kuimarika zaidi.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK