AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MWANAMUZIKI Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ anayesumbua na Wimbo uitwao Wapo, hivi karibuni amefunguka namna wimbo huo ulivyomletea mafanikio ndani ya muda mfupi tangu auachie jambo ambalo kwake ni kama maajabu.
Akichonga na Over Ze Wikend, Nay alizidi kufunguka kuwa miongoni mwa mafanikio ambayo wimbo huo uliyompa misukosuko umempatia ni kubadilishwa lugha na ‘media’ mbalimbali za nje zikiwemo BBC na CNN ili dunia nzima iweze kuupata ujumbe alioulenga lakini pia shoo ambazo hazikatiki.
“Tofauti na nyimbo zangu zote, Wapo umenipa mafanikio sana. Naona ni kama maajabu maana kila wiki napiga shoo kuanzia tatu lakini pia umenifanya kuwa karibu na viongozi wa kiserikali na ambao hawapo serikalini. Lakini pia ni kujulikana zaidi nje ya nchi maana media za nje zimenizungumzia sana,” alimaliza
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
NAKUAMINIA ;TRUEBOY' WAUMIZE MAHASIDI.
ReplyDelete