AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Snoop Dogg ameushangaza ulimwengu kwa kuahidi albamu yake inayofuata itakuwa ya nyimbo za injili.
Akiongea katika kipindi cha The Pharmacy, rapper huyo amesema, “I’m working on a gospel album. It’s always been on my heart. I just never got around to it because I always be doing gangsta business or doing this or doing that. I just felt like it’s been on my heart too long. I need to do it now.”
Snoop amelitaja jina la albamu yake hiyo ya 16 itaitwa ‘Neva Left’.
April 17 ya mwaka jana msanii huyo alianza kuonyesha kuvutiwa na muziki huo baada ya kuandika katika mtandao wake wa Instagram, “Silver n gold. @dashradio Cadillac music Sunday gospel mix.”
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Kwani hur jamaa mbona kama niliona amekuwa muislam imekuwaje tena atengeneze nyimbo za injili
ReplyDelete