AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
KUFUATIA tishio la kuwapo kwa ‘software’ yenye virusi aina ya WannaCry, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imewatahadharisha watumiaji wa kompyuta kutofungua viambatanishi wasivyovijua kwenye barua pepe zao.
Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, James Kilaba, amesema kufuatia tishio hilo taasisi zianza kuchukua tahadhari kwa kutunza data (taarifa) nje ya mtandao ili kuepuka athari hizo kama kutatokea kompyuta kusambuliwa na virusi hivyo.
Kilaba amesema tishio la virusi WannaCry haliko kwenye kompyuta pekee bali pia kwenye simu za kisasa endapo utafungua kiambatanisho au link yenye virusi hivyo.
“Endapo mtumiaji au taasisi wanakumbwa na tatizo hilo basi watoe taarifa kwa Timu ya kitaifa ya dharura ya kompyuta (TZCERT),”
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK