TUMEKWISHA..! Waziri wa Viwanda, Charles Mwijage Asema Ukiwa na Vyerehani Vinne Hicho ni Kiwanda..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Waziri wa viwanda na  biashara Mhe Charles Mwijage Amesema Kuwa dhana ya viwanda ni pamoja na mtu mwenye kuwa na uwezo wa kumiliki hata cherehani nne na akajisajili basi huyo atafahamika kuwa anamiliki kiwanda.

Je wewe unamtazamo gani juu ya hili...!!!?
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad