Ushauri:Namna ya Kudeal na ACACIA na Makampuni ya Madini na Nishati Kama Nchi..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


1. Tanzania inapaswa kusitisha au kujitoa kwenye Makubaliano ya Kimataifa kuhusu usuluhishi au uamuzi wa migogoro ya kimataifa. Hii itawazuia watakaoguswa kwenda nje kutushtaki na kutubabaisha.

2. Sheria zote za zinazohusu madini na nishati zipitiwe upya na kurekebishwa ili kulinda maslahi ya nchi. Itakuwa ni nafasi ya kurekebisha mrabaha na maslahi mengineyo

3. Mikataba yote ya madini na nishati ifumuliwe na kusukwa upya kwa lengo kama la kwenye nambari 2. Mikataba itamke wazi usuluhishi au uamuzi juu ya migogoro ufanyike katika Mahakama za Tanzania au kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki.

4. Serikali ya Tanzania inapaswa kuwa na hisa katika kila kampuni ya madini au nishati. Hili lielezwe vyema kwenye Sheria na Mikataba. 

5. Kuwepo na timu imara za majadiliano za Serikali kuhusu madini na nishati na vyombo vya usalama vihusishwe kumulika nchi hizo.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad