AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ni kauli ya Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro Anna Mgwira alipokuwa kwenye mahojiano na Azam Tv jana mara baada ya kuapishwa kwenye nafasi ya ukuu wa Mkoa huo, ambapo amesisitiza kuwa yeye bado ni Mwenyekiti wa Chama cha Act-Wazalendo.
amesema kuwa uenyekiti wa chama chochote nchini ni shart uwe Makamu Mwenyekiti Bara na Zanzibar na makamu wangu wote wanaimudu nafasi ya umakamu.
" Ilani ya chama cha mapinduzi ni lazima niitekeleze, napotekeleza Ilani nikiona ina mapungufu namuona Mwenyekiti wa chama na Katibu wake kwamba Ilani hii haitekelezeki.
"Wakati mwingine hizi Ilani watu wanaongea tu maneno hawazisomi, Ukiisoma Ilani ya kila chama cha Tanzania zote ni nzuri,"
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK