Umeipata Hii Mpaya ya Mama Kanumba na Mama Lulu?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Baada ya kuwa katika mgogoro kwa muda mrefu, wazazi wa kike wa waigizaji marehemu Steven Kanumba na Elizabeth Michael ‘Lulu’ hatimaye wamemaliza bifu lao na hivi sasa, hakuna mwenye kinyongo tena. Wazazi hao, Lucresia Karugila wa Lulu na Flora Mtegoa wa marehemu Kanumba, awali walikuwa mashoga wakubwa, kabla ya upepo kubadilika na baadaye kukosekana kwa maelewano baina yao. Kwa mujibu wa chanzo chetu kilichopo karibu na wawili hao, hivi sasa wazazi hao wana mawasiliano kama ilivyokuwa zamani.

Risasi Mchanganyiko lilimtafuta mama mzazi wa Lulu ambaye baada ya kuulizwa kuhusu habari hizo njema, alikiri ni kweli wamerejea katika uhusiano wao kama zamani. “Mimi sina ugomvi na mama Kanumba kabisa, niko naye vizuri, tatizo maneno ya watu ndiyo yanatuharibia,” alisema kwa kifupi. Kwa upande wake, mama Kanumba alipotafutwa alijibu kwa kifupi tu; “Siku zote huwa nasema kila kinachotokea Mungu ameshapanga hivyo, sina tatizo na mama Lulu.”
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad