AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Risasi Mchanganyiko lilimtafuta mama mzazi wa Lulu ambaye baada ya kuulizwa kuhusu habari hizo njema, alikiri ni kweli wamerejea katika uhusiano wao kama zamani. “Mimi sina ugomvi na mama Kanumba kabisa, niko naye vizuri, tatizo maneno ya watu ndiyo yanatuharibia,” alisema kwa kifupi. Kwa upande wake, mama Kanumba alipotafutwa alijibu kwa kifupi tu; “Siku zote huwa nasema kila kinachotokea Mungu ameshapanga hivyo, sina tatizo na mama Lulu.”
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK