Bifu la Diamond na EATV & Radio..Je Litaweza Kumshusha Diamond Kimuziki?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Bifu la Diamond na Alikiba naliona linafifia kila siku iitwayo leo, huenda likaisha kimya kimya bila hata wao kuonekana wakiwa pamoja katika picha au kufanya wimbo lakini kwa upande wa Diamond namuona kwenye Bifu zito na Ipp Media Especially EATV & RADIO, Ila bifu la aina hii (Msanii na Media) huwa halizungumziwi sana kwasababu hiyo media yenyewe haitataka msanii huyo asikike kupitia vipindi vyao tofauti na bifu kati ya Msanii na Msanii watawaita kila mmoja kwa wakati wake na kupiga nao story nini chanzo cha bifu lao .
.

Mara nyingi msanii anapokuwa na bifu na Media hasa ile yenye nguvu na ushawishi, msanii hujikuta akishuka kimuziki. Mfano mzuri #Ruby na #Clouds. Lakini hili la EATV na Diamond kiukweli ni ngumu kutabili itakuwaje kwasababu EATV hawapo vizuri kama zamani na kwa upande wa Diamond yupo vizuri kimuziki na mashabiki zake ambao wapo active sana. Hivyo ni ngumu kusema kuwa EATV ndio watayumba kwasababu ile ni taasisi na vile vile ni ngumu Diamond kushuka kimuziki kisa EATV kwasababu yupo pamoja na Media yenye nguvu kwasasa (Clouds) .
.

Sijawahi kuona Msanii aliyeshuka kimuziki kisa alikuwa na Bifu na EATV ila CLOUDS....ishawatoa wengi kwenye ramani na Wasanii hao hao EATV walijaribu kuwashika mkono lakini hawakuwa na nguvu hiyo.


TOA MAONI YAKO HAPA
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad