EMMANUEL Mbasha Amkana ‘Mchumba’ke’

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

BAADA ya kudaiwa kumvisha pete ya uchumba mshiriki wa Miss Tanzania 2008, Jacqueline Chuwa ‘Jack’, Mwimbaji wa Nyimbo za Injili, Emmanuel Mbasha amemkana akidai hamfahamu mlimbwende huyo.

Akipiga stori na Za Motomoto News, Mbasha alisema hamfahamu msichana huyo na kwamba hana mchumba wala rafiki wa kike kwa sasa, akisema picha ambayo alipiga akiwa dukani na shela, ilikuwa ni kwa ajili ya kuomba miujiza kutoka kwa Mungu ili apate mke mwema.


“Sina mchumba wala mpenzi na picha niliyoweka kwenye ukurasa wangu wa Instagram niliamua kupiga nikiwa nimeshika tu shela ili Mungu afanye jambo kwangu, nikipata mchumba nitawaambia mashabiki wangu wala wasijali kwa hilo, huyo Jack simfahamu,” alisema Mbasha.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad