AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akipiga stori na Za Motomoto News, Mbasha alisema hamfahamu msichana huyo na kwamba hana mchumba wala rafiki wa kike kwa sasa, akisema picha ambayo alipiga akiwa dukani na shela, ilikuwa ni kwa ajili ya kuomba miujiza kutoka kwa Mungu ili apate mke mwema.
“Sina mchumba wala mpenzi na picha niliyoweka kwenye ukurasa wangu wa Instagram niliamua kupiga nikiwa nimeshika tu shela ili Mungu afanye jambo kwangu, nikipata mchumba nitawaambia mashabiki wangu wala wasijali kwa hilo, huyo Jack simfahamu,” alisema Mbasha.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK