HAMISA Mobeto Kakosea Sana Kama Kweli ana Mimba ya Diamond Huku Anajua Anafamilia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MSANII wa sinema Bongo, Faiza Ally amemchokonoa Video Queen, Hamisa Mobeto baada ya kunasa kibendi na kusema kuwa, anamshangaa mwanadada huyo kwa kutochagua mtu stahiki wa kuzaa naye.

Akipiga stori na 3 Tamu, Faiza alisema kuwa, wasanii wengi hawajithamini miili yao na mfano mzuri ni mwanadada huyo ambaye anasikia ana ujauzito unaodaiwa ni wa msanii wa Bongo Fleva ambaye tayari ana familia yake na kuona alichofanya si sahihi.

Unajua wasichana wengi hawajithamini wanafanya vitu bila kufikiria, kama huyo Hamisa nasikia ana ujauzito wa huyo msanii (jina kapuni) na kama ni kweli mimba ni ya huyo mtu, kakosea sana, napenda kuongea kitu kinachonigusa kwenye nafsi yangu akichukia atajijua,” alisema Faiza.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad