AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akipiga stori na 3 Tamu, Faiza alisema kuwa, wasanii wengi hawajithamini miili yao na mfano mzuri ni mwanadada huyo ambaye anasikia ana ujauzito unaodaiwa ni wa msanii wa Bongo Fleva ambaye tayari ana familia yake na kuona alichofanya si sahihi.
“Unajua wasichana wengi hawajithamini wanafanya vitu bila kufikiria, kama huyo Hamisa nasikia ana ujauzito wa huyo msanii (jina kapuni) na kama ni kweli mimba ni ya huyo mtu, kakosea sana, napenda kuongea kitu kinachonigusa kwenye nafsi yangu akichukia atajijua,” alisema Faiza.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK