Kuanzia Leo Mashoga na Wasagaji Ruksa Kuoana Katika Nchi Hii

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wabunge nchini Ujerumani wameidhinishwa, kwa wingi wa kura, sheria ya kuhalalisha ndoa za wapenzi wa jinsia moja.

Wamefanya hivyos iku chache baada ya Kansela Angela Merkel kuondoa upinzani wake dhidi ya mpango huo.

Chini ya mabadiliko hayo sasa, wapenzi wanaotaka kuoana ambao awali walikubaliwa tu kuwa na ushirika, hadhi ya ndoa kamili na wana haki ya kuasili watoto.

Wapinzani wa Bi Merkel kisiasa walikuwa wanaunga mkono sana hatua hiyo.

Lakini kansela huyo, ambaye alionekana kuunga mkono kufanyika kwa kura hiyo Jumatatu, alipiga kura ya kupinga.

Mswada huo uliungwa mkono na wabunge 393, 226 wakaupinga na wanne wakasusia.

Sheria nchini Ujerumani sasa itasoma: "Ndoa inafanikishwa na watu wawili wa jinsia tofauti au jinsia moja," shirika la habari la AFP limeripoti.

Baada ya kura hiyo ya Ijumaa, Bi Merkel amesema kwamba kwake ndoa ni kati ya mwanamume na mwanamke.

Lakini amesema anatumai kwamba kupitishwa kwa mswada huo kutafanikisha "utangamano zaidi wa kijamii na amani".

Wakati wa kampeni 2013, Bi Merkel alisema kwamba anapinga ndoa za wapenzi wa jinsia moja, kwa msingi wa "maslahi ya watoto", alkini akakiri kwamba amekuwa na wakati mgumu kuhusu suala hilo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Any msagaji tupeana tamu za kimataifa plz ni tex any time 0776906295 tutasagana hdi tukojozane mara 10

    ReplyDelete

Top Post Ad