AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wakala Mino Raiola anayemsimamia Mario Balotelli, amesema nafasi kubwa ya mchezaji huyo ni kutua Borussia Dortmund msimu ujao.
Sababu za klabu hiyo ya Dortmund kuwa na mpango wa kumsajili mshambuliaji huyo wa timu ya Nice, ni kutokana na kuwapo taarifa za msambuliaji wake Pierre-Emerick Aubameyang kuhitajika Paris Saint-Germain.
Riola alifanya mazungumzo ya awali na uongozi wa klabu hiyo jana Jumanne, huku akisema ana uhakika mchezaji huyo atakipiga Dortmund msimu ujao.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK