AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akichonga na Mikito Nusunusu, Rosa Ree ambaye yupo chini ya Lebo ya The Industry inayosimamiwa na Navy Kenzo alisema, kila mwanamuziki ana tofauti yake na hata wanaokuwa wanamfananisha na baadhi ya wasanii wanakuwa wanakosea sana.
“Kuna watu huwa wananifananisha na baadhi ya wasanii wa kike hapa Bongo wanaofanya muziki wa kurap, lakini ukweli ni kwamba nipo tofauti na hao wanaonifananisha nao ambao naona hata kuwataja hapa ni kuwapa kiki kirahisi, kitu ambacho siwezi kufanya kwani hawawezi kufanana nami,” alisema Rosa Ree.
GPL
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK