AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ulijua baada ya kukutana kwa Vanessa Mdee na Navio kutoka Uganda ndio imeishai pale? Basi kaa tayari kwa wimbo mpya kutoka kwa wasanii hao.
Wawili hao wameonekana tayari kuna kitu wameshakiandaa kwa ajili ya mashabiki wao kutokana na baadhi ya picha walizoziweka kwenye mitandao yao ya kijamii.
Vanessa ambaye wiki iliyopita alionekana akiwa nchini Uganda na kukutana na rapper huyo, ameweka picha kadhaa kwenye mtandao wake wa Instagram zikiwaonyesha wakiwa location wakishoot video ya wimbo wao huo.
Hizi ni baadhi ya picha zinazoonyesha wawili hao wakiwa wanashoot video hiyo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK