Nafasi za Ajira Serikalini Zilizotangazwa Wiki Hii Bonyeza HAPA
Nafasi za Internship Zilizotangazwa Bonyeza HAPA
Matokeo ya Form Four 2022 Bonyeza HAPA
Zari Ajibu Mapigo ya Baba Watoto Wake (Diamond)
.
Shutuma za Kuchepuka alizorushiwa Na Baba Watoto wake wawili ambae ni (Diamond Platnumz) zari Amepangua shuti la Tuhuma hizo, kwa kudai kuwa mwanaume aliyeonekana nae wakiwa wanakoga ni binamu Wa Marehem #IvanDon (Binamu kinyama cha hamu) na alie piga Picha ni Mke wa binamu huyo kama hapo unavyowaona kwenye picha
.
Zari ameandika kuwa alikutana nao kwa Bahati Mbaya kwenye Spa, Na akajitetea kwa kusema "Unapokua mwanamke muaminifu kwenye mahaba, mwanaume atakua anatafuta visababu ambavyo havipo Ili kuficha Machafu Yake na kugeuza Story za usaliti anaoutenda kwa kuhisi ww haujui, Chibu Nakuona Nakuonaaaaa
Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Tanzania Zipo HAPA
Ufadhili wa Masomo ( Scholaships) Bonyeza HAPA
2 Comments
mtendwa akitendewa hujihisi kaonewa!
ReplyDeleteHizo wamezirusha makusudi wenyewe ku buy attention yenu .
ReplyDelete