AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waziri Mkuu ametoa kauli hiyo Jumatano hii wakati wa ibada ya mazishi ya mke wa Dkt. Harrison Mwakyembe, Linah Mwakyembe yaliyofanyika Kyela jijini Mbeya.
“Tutashughulika na watu wote wanaotoa matamshi ya kichochezi, popote walipo bila ya kujali uwezo wao, vyeo vyao na mamlaka walizonazo,” alisema Waziri Majaliwa.
Aidha Waziri Mkuu amewaomba wananchi wote washirikiane kwa pamoja kumuombea Dkt Mwakyembe na familia yake ili Mwenyezi Mungu aweze kuwafariji.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK