Tutashughulika na Wanaotoa Matamshi ya Kichochezi – Waziri Mkuu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amewaonya wanaotoa matamshi ya kichochezi nchini na kusema kuwa serikali itawashughulikia bila ya kujali nyadhifa zao.


Waziri Mkuu ametoa kauli hiyo Jumatano hii wakati wa ibada ya mazishi ya mke wa Dkt. Harrison Mwakyembe, Linah Mwakyembe yaliyofanyika Kyela jijini Mbeya.

“Tutashughulika na watu wote wanaotoa matamshi ya kichochezi, popote walipo bila ya kujali uwezo wao, vyeo vyao na mamlaka walizonazo,” alisema Waziri Majaliwa.

Aidha Waziri Mkuu amewaomba wananchi wote washirikiane kwa pamoja kumuombea Dkt Mwakyembe na familia yake ili Mwenyezi Mungu aweze kuwafariji.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad