AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kupitia Instagram yake, Afande Sele aliandika ujumbe ambao unaashiria kutokasirika wala kuchukizwa na kitendo cha kutajwa kwenye ‘ZILIPENDWA’ na kuonesha kufurahia jambo hilo mbali na wengine huku akiwaambia walioupokea vibaya msiba hauwahusu.
Afande Sele aliandika>>>Sana mdogo wangu nyakati zinabadilika Huu muda wa akina Damian sio nyakati za Burning Spear au Bob Marley , ndio maana nikawa Muhenga, wamuache Dogo afanye kazi zake #safiplatnumdiamond @Regrann from @rhymesselassie – Simba wa Morogoro nae zilipendwa …😂😂 Simba wa madale/tandale kanichekesha. Safi this is music , #burudani, utani kwa mhenga. Nawashangaa linaowatoka povu wakati msiba hauwahusu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK