AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Alitoa kauli hiyo kufuatia watu mbalimbali kumkosoa kwa kitendo chake cha kuonekana akiwa mitaani na mtoto wake aliyezaliwa hivi karibuni, huku wakosoaji wakisema ilikuwa ni mapema mno kumtembeza mitaani hasa kwa kuwa hata siku 40 hajafikisha tangu azaliwe.
“Unajua kila mtu ana life style yake, haya ni maisha yangu niliyochagua na mambo yanabadilika, naishi kuendana na wakati, kwa hiyo nawashauri watu waache kukariri, siyo lazima watu wote tufanane,” alisema.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK