Faiza Ally Atoa Povu..'Mniache na Maisha yangu Nimechagua Kuwa Hivyo'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MUIGIZAJI anayejipatia umaarufu kutokana na vituko, Faiza Ally amewataka watu wanaomkosoa kuachana naye kwa vile hayo ndiyo aina ya maisha aliyoamua kuishi (life style).

Alitoa kauli hiyo kufuatia watu mbalimbali kumkosoa kwa kitendo chake cha kuonekana akiwa mitaani na mtoto wake aliyezaliwa hivi karibuni, huku wakosoaji wakisema ilikuwa ni mapema mno kumtembeza mitaani hasa kwa kuwa hata siku 40 hajafikisha tangu azaliwe.

“Unajua kila mtu ana life style yake, haya ni maisha yangu niliyochagua na mambo yanabadilika, naishi kuendana na wakati, kwa hiyo nawashauri watu waache kukariri, siyo lazima watu wote tufanane,” alisema.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad