AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Halima Mdee amesema kuwa ni muda mrefu alishatoa taarifa kwenye jeshi la polisi kuhusu watu hao wanaotumia jina lake kwenye mitandao ya kijamii na kujifanya kutoa mikopo yenye riba ndogo na kuwatapeli wananchi pesa zao.
"Wanaojitambulisha kutoa mkopo kwa jina langu ni matapeli, sihusiki nao !Nimetoa taarifa polisi inaonekana hawakamatiki" alisema Halima Mdee
Aidha watu hawa wanaojitambulisha kama Halima Mdee wanatumia mpaka jina la Waziri Mkuu Kassim Majaliwa katika kufanya utapeli huu na kuwaumiza wananchi wa chini ambao wanashida na kutaka kujikwamua kimaisha kupitia mikopo hiyo na badala yake wanakwenda kuongeza matatizo kwani hata kidogo walichokuwa nacho pia hutapeliwa.
Mbali na Halima Mdee jina lake kutumika katika utapeli huu lakini pia viongozi wengine mbalimbali na watu maarufu wamekuwa wakitumiwa na watu hawa katika kuendelea kufanya utapeli huu, mfano jina la Waziri Mkuu Kassim Majaliwa. Lakini pia Mbunge wa Kigoma Mjini Mhe. Zitto Kabwe ameshawahi kulalamika juu ya utapeli huu unaofanya na watu hawa mitandaoni.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK