AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hivi kwanini watu wamejaribu kumuandama Goodluck Gozbert mara nyingi watumishi wa Mungu wamekuwa wakimuona wa dunia na sababu zao kubwa ni uvaaji wake.
Uimbaji wake hapa wanapenda kuzungumzia suala la kutungia baadhi ya wasanii wakidunia nyimbo kama baraka prince na wengine...
Suala lingine ya kuwa uimbaji wake hajawahi taja jina la Yesu kwenye nyimbo zake
Nyie mnamuelewaje kwani??? Anaimba nyimbo za Dini au za kidunia?
By Herufi Kubwa/JF
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK