Kwanini Roma Mkatoliki Anakataa Kabisa Kusema Alihojiwa nini na Watekaji?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Nimemsikiliza Roma Mkatoliki akihojiwa na Millard Ago kwa takribani dakika 35 lakini amekataa kata kata kueleza alikuwa anahojiwa nini!

Ameeleza tukio zima la yeye na Monie,Bin laden na Imma kuchukuliwa studio mpaka huko wasikokujua.

Ameeleza mateso aliyoyapata mpaka kuvunjwa kidole cha mwisho mkono wa kushoto na kuvunjwa jino la juu kwa kupigwa na mijeledi,virungu huku wakiwa wamefungwa USO na mikono na mateke huku mdomo Umefungwa sole tap usije ukatoa sauti

Roma alikuwa room ya peke yake,Imma room ya peke yake na Monie na Bin laden walikuwa room ya peke yao.

Na aliambiwa atatoka mwaka 2030 kama wimbo wake alioimba Roma.

Swali langu kwanini Roma anakataa kabisa na hata Katika hayo mahojiano kueleza alihojiwa nini?!

Ila anachosisitiza hayo yote aliyoulizwa yeye hayafanyi na anamwachia Mungu.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad