AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ameeleza tukio zima la yeye na Monie,Bin laden na Imma kuchukuliwa studio mpaka huko wasikokujua.
Ameeleza mateso aliyoyapata mpaka kuvunjwa kidole cha mwisho mkono wa kushoto na kuvunjwa jino la juu kwa kupigwa na mijeledi,virungu huku wakiwa wamefungwa USO na mikono na mateke huku mdomo Umefungwa sole tap usije ukatoa sauti
Roma alikuwa room ya peke yake,Imma room ya peke yake na Monie na Bin laden walikuwa room ya peke yao.
Na aliambiwa atatoka mwaka 2030 kama wimbo wake alioimba Roma.
Swali langu kwanini Roma anakataa kabisa na hata Katika hayo mahojiano kueleza alihojiwa nini?!
Ila anachosisitiza hayo yote aliyoulizwa yeye hayafanyi na anamwachia Mungu.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK