Man Fongo Anusurika Kifo Baada Ya Kuanguka Juu ya Paa la Nyumba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Man Fongo Anusurika Kifo Baada Ya Kuanguka Juu ya Paa la Nyumba
MSANII wa muziki wa Singeli nchini, Amani Fongo ‘Man Fongo’ mwishoni mwa wiki iliyopita alinusurika kifo baada ya kutereza juu ya paa la nyumba wakati akiweka balbu ya umeme.
Akisimulia mkasa huo kwa Risasi Vibes, Man Fongo alisema tukio hilo lilitokea Sinza jijini Dar alikohamia ambako alikuwa akisimamia mafundi waliokuwa wakiifanyia ukarabati nyumba hiyo, ambapo alipoanguka, mkono wake mmoja uliingia katika chuma kimoja cha geti na kum-pasua kiasi cha kutokezea upande wa pili.

“Nashu-kuru kwa sasa naendelea vizuri baada ya kupatiwa matibabu, kiukweli sijui ilikuwaje mpaka nikatereza kwani nilishtukia nimedondoka na kuumia, maumivu niliyoyapata siwezi hata kuyaelezea kwa kweli,” alisema Man Fongo.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad