Maskini Mchezaji Thomas Ulimwengu Afanyiwa Operation

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Jumatatu ya July 31 mshambuliaji wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars Thomas Ulimwengu anayecheza katika timu ya AFC Eskilstuna ya Sweden kutumia ukurasa wake wa instagram alitoa taarifa kwa watanzania kuhusu hali yake.

Ulimwengu kupitia ukurasa wake wa instagram ameweka wazi kuwa amefanyiwa upasuaji wa goti na kufanikiwa kumaliza salama nchini Afrika Kusini na anaanza mazoezi ya miguu kama sehemu ya tiba ya kuponesha jeraha hilo haraka.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. mwandishi unaposema masikini una maana gani, kwani kufanyiwa operation kw mchezaji ni ajabu?

    ReplyDelete

Top Post Ad