AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muimbaji huyo katika show hiyo alidaiwa kuibiwa baadhi ya vitu baada ya kuvamiwa na mashabiki kitu ambacho amekanusha.
“Waandishi vilaza mnapenda kurukia sana hata msilolijua mimi katika show ya kuapishwa Sonko leo sijaibiwa na mtu yoyote,” Mr Nice aliandika Facebook “Kifupi ni kwamba mashabiki waling’ang’ana kucheza na mimi na bahati mbaya wakajikuta wamekata cheni zangu na pia leseni yangu ikadondoka nilikuwa nayo kwa mfuko wa koti la suti,”
Aliongeza, “Mkome kabisaaaa kutengeneza ishu za kipumbavu ili muuze vijikaratasi vyenu huko mtaani. Kenya iko sawa na hakuna tatizo lolote kabisaaaaaa na bado 21/8/2017 tuwache rafiki yangu Sonko achape kazi na Nairobi ifaidike naye,”
Miezi miwili iliyopita muimbaji huyo alizushiwa kifo kupitia mitandao ya kijamii.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK