AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mrisho Gambo amepata nafasi ya kukutana na familia za watoto hao pamoja na watoto wenyewe na kudai kuwa kupitia watoto hao na uponywaji wao ameona utukufu wa Mungu
"Leo nimekutana na familia za wazazi wa watoto Sadia, Doreen na Wilson ambao watoto wao walinusurika na ajali ya basi ya Lucky Vicent Mkoani Arusha. Aidha, tumewakabidhi 7,750,000 kila familia ili ziwasaidie kwenye masuala yao mbalimbali pamoja na Elimu. Nimeona utukufu wa Mungu kupitia watoto hawa" alisema Mrisho Gambo
Watoto Doreen, Wilson na Sadia wamerejea nchini Tanzania kutokea nchini Marekani siku ya Ijumaa ya tarehe 18 Agosti 2017 na kupokelewa na wananchi mbalimbali katika uwanja wa KIA akiwepo Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro na viongozi wengine mbalimbali pamoja na baadhi ya wasanii wa injili akiwepo Mercy Masika kutoka Nairobi pamoja na Angel Bernard
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK