AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Vyombo vya habari nchini vinasema alitorokea kupitia Cambodia na Singapore, kabla ya kusafiri hadi katika taifa hilo la ghuba ambako kakake Thaksin - waziri mkuu wa zamani pia, anaishi uhamishoni.
Yingluck Shinawatra alikuwa anakabiliwa na kifungo cha hadi miaka 10 gerezani iwapo angepatikana na hatia ya uhalifu kutokana na kuzembea kazini katika kesi kuhusu mpango wa ruzuku kwa wakulima wa mpunga unaosemakana kuchangia ushindi wake katika uchaguzi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Ingekua na hapa mafisadi na wauza unga wanafanyiwa hivyo mbona wangenyooka.. Maana huyu siyo wizi bali ameponzwa na uzembe tu da!!
ReplyDelete