AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mechi hiyo itachezwa Oktoba 28, mwaka huu na awali ilielezwa ingechezwa kwenye Uwanja wa Taifa ambao ulielezwa ukarabati wake ungekamilika Oktoba 25, mwaka huu.
Hivi karibuni serikali kupitia kwa Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe ilisema Simba na Yanga hazitaweza kuutumia Uwanja wa Taifa kwa mechi ya Oktoba 28 kwani ukarabati wake utakuwa bado haujakamilika.
Kikosi cha timu ya Simba.
Badala yake serikali ikasisitiza kwamba, uwanja huo utakuwa tayari kuanza kutumika ifikapo Januari mwakani.
Kwa jinsi hali ilivyo, Tanzania hakuna uwanja mwingine wa kuruhusu mechi hiyo kuchezwa zaidi ya Kirumba ndiyo maana Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) litalazimika kuipeleka huko.
Mechi hiyo ya watani itachezwa kwenye uwanja huo kama ilivyopangwa Oktoba 28, mwaka huu.
“Unadhani hii mechi itapelekwa wapi? Hapa Tanzania hakuna uwanja mwingine utakaoweza kuchukua watazamaji wengi kama Kirumba hivyo kwa vyovyote vile mechi itachezwa hapo,” kilisema chanzo chetu.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK