AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Planet Bongo ya EA Radio Wolper amesema amekuwa akifuatilia muziki wa Fid Q toka mwanzo msanii na huyo hajawahi kutoa wimbo kwake ukawa mbaya.
“Fid Q namba nyingine kabisa, namba chafu yaani ni mtu ambaye namkubali sana, nina ngoma zake toka anaaza muziki hadi ya jana Fresh,” amesema Wolper.
“Hakuna wimbo wa Fid ambao siujui na ambao siupendi napenda ngoma zake zote, sijawahi kuchukia ngoma yake hata moja na ninafikiri actually anajua,” ameongeza.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK