Fid Q Namba Nyingine Kabisa Hakuna Wimbo Wake Nisio Ujua- Wolper

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Fid Q Namba Nyingine Kabisa Hakuna Wimbo Wake Nisio Ujua- Wolper
Muigiza wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper ameeleza mahaba yake ya kimuziki kwa rapper Fid Q.

Akizungumza na Planet Bongo ya EA Radio Wolper amesema amekuwa akifuatilia muziki wa Fid Q toka mwanzo msanii na huyo hajawahi kutoa wimbo kwake ukawa mbaya.

“Fid Q namba nyingine kabisa, namba chafu yaani ni mtu ambaye namkubali sana, nina ngoma zake toka anaaza muziki hadi ya jana Fresh,” amesema Wolper.

“Hakuna wimbo wa Fid ambao siujui na ambao siupendi napenda ngoma zake zote, sijawahi kuchukia ngoma yake hata moja na ninafikiri actually anajua,” ameongeza.


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad