Htimaye Mashinji Ajisalimisha Makao Makuu ya Polisi Dar

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Htimaye Mashinji Ajisalimisha Makao Makuu ya Polisi Dar
Habari nilizozipta muda huu ni kwamba Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr. Vincent Mashinji, akiambatana na wasaidizi wake kutoka Makao Makuu ya Chama hicho, amewasili Makao Makuu ya Jeshi la Polisi Dar es Salaam.

Dr. Mashinji amefika Makao Makuu hayo kuitikia wito wa Jeshi la Polisi uliotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Gilles Muroto, kuwa anatakiwa kufika Ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI).


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad