AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ridhiwani Kikwete amebainisha hayo kupitia ukurasa wake wa Instagram baada ya baadhi ya viongozi kujaribu kutumia tukio lililompata Mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA), Tundu Lissu kupigwa risasi na watu wasiofahamika kama jukwaa la kisiasa kwa kutaja wahusika wa jambo hilo bila ya kuwa na ushahidi wa aina yeyote ile mbapo ni hatari kwa usalama wa nchi.
"Kama jambo haulijui, haujalishiriki bora unyamaze. Kutunga uongo au kuandika sana ili uonekane unajua kufikiri dhidi ya uhalisia hakutasaidia upelelezi wala haki kuonekana ikitokea. Tuwe watulivu katika kipindi hiki ili haki itendeke", amesema Ridhiwani Kikwete.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK