Kama Jambo Haulijui, HaujarishirikiBora Unyamaze Maana Ukijifanya Unajua Zaidi ya Uhalisia Hakutasaidia Upelelezi- Ridhiwani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kama Jambo Haulijui, HaujarishirikiBora Unyamaze Maana Ukijifanya Unajua Zaidi ya Uhalisia Hakutasaidia Upelelezi- Ridhiwani
Mbunge wa Jimbo la Chalinze (CCM) Mhe. Ridhiwani Kikwete amefunguka na kuwataka wananchi na baadhi ya viongozi wakae kimya kama jambo hawalifahamu undani wake kwani kufanya hivyo hakutaweza kusaidia upelelezi.

Ridhiwani Kikwete amebainisha hayo kupitia ukurasa wake wa Instagram baada ya baadhi ya viongozi kujaribu kutumia tukio lililompata Mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA), Tundu Lissu kupigwa risasi na watu wasiofahamika kama jukwaa la kisiasa kwa kutaja wahusika wa jambo hilo bila ya kuwa na ushahidi wa aina yeyote ile mbapo ni hatari kwa usalama wa nchi.

"Kama jambo haulijui, haujalishiriki bora unyamaze. Kutunga uongo au kuandika sana ili uonekane unajua kufikiri dhidi ya uhalisia hakutasaidia upelelezi wala haki kuonekana ikitokea. Tuwe watulivu katika kipindi hiki ili haki itendeke", amesema Ridhiwani Kikwete.


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad