AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza leo Septemba 5 wakati wa utiaji saini mkataba wa taasisi na mashirika ya umma 30, Mashindano amesema baadhi zilishindwa kufikia malengo kutokana na mipango yao kutoendana na bajeti.
Amesema baadhi ya mashirika ya umma yameshindwa kukusanya mapato kulingana na mikataba waliyoingia.
Mashindano amesema baadhi ya mashirika ya umma yameshindwa kufikia malengo katika kutoa huduma bora kwa wananchi.
Kuhusu mashirika yanayosaini mikataba leo, ametoa wito kwao kusimamia changamoto ambazo zimewafanya wenzao kushindwa kufikia malengo.
Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Anne Makinda ametoa wito kwa viongozi wenzake wa mashirika ya umma na taasisi binafsi kuhakikisha wanamsaidia Rais John Magufuli kusimamia taasisi wanazoongoza ili ziweze kutoa mchango unaostahili kwa Taifa.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK