Mtandao wa Whatsap Wafungiwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mtandao wa Whatsap Wafungiwa
Mtandao wa WhatsApp umeingia kifungoni nchini China ukiifuatia na Instagram, Twitter, Facebook, Gmail, Snapchat na Pinterest.

WhatsApp imeanza kufungiwa taratibu katika kipindi cha wiki mbili zilizopita, kwa mujibu wa taasisi inayoratibu masuala ya mitandao duniani, Open Observatory of Network Interference (OONI).

Mtandao wa Shirika la Utangazaji CNN unaripoti kuwa katika miezi ya hivi karibuni WhatsApp imekuwa ikipatikana kwa shida.

Mtandao huo ulianza kufungiwa taratibu wakati huu wa kuelekea uchaguzi mkuu wa chama tawala cha Communist, utakaoanza Oktoba 19 mwaka huu.

Kwa kawaida nchi hiyo hudhibiti matumizi ya mtandao katika kipindi cha uchaguzi mkuu ambao hufanyika kila baada ya miaka mitano.

China inatumia mtindo wa Great Firewall katika kudhibiti matumizi ya intaneti ambayo hujumisha sera na teknolojia.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad