AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Maafisa wa forodha walipata gramu 904 za dhahabu yenye thamani ya dola 29,370 ndani ya utumbo wake.
Choo kilichotengezwa kwa dhahabu kutumika na umma
Mwanamume huyo raia wa Sri Lanka mwenye umri wa miaka 45, alikuwa safarini kwenda nchini India, lakini akasimamishwa kwenye uwanja wa kimataifa wa Colombo.
Kumekuwa na visa kama hivyo miaka ya hivi karibuni.
Watu hununua dhahabu maeneo kama Dubai na Singapore ambapo bei ni ya chini na kisha kuisafirisha hadi India ambapo bei yake ni ya juu.
Majambazi waiba dhahabu ya kilo 70
Maafisa wa forodha waliiambia BBC kuwa walimshuku mwanamume huyo kwa sababu alikuwa akiotembea kwa njia isiyo ya kawaida.
Vifaa vya kutambua chuma kisha vinatambua mkoba uliokuwa umefungwa mfuko wa plastiki na kufichwa ndani ya utumbo.
Aliyefunga kilo 25 za dhahabu kwenye mapaja akamatwa uwanja wa ndege
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK