AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Snura ameeleza hisia zake hizo kupitia mtandao wake wa kijamii wa Instagram asubuhi ya leo na kufanya kuwashangaza watu kwa kile alichokiandika, huku wengine wakitaka kupatiwa wao nafasi hiyo ya kumpatia ujauzito.
"Nimetamani mimba ila sijamtamani mwenye kunipa mimba", ameandika Snura.
Hii si mara ya kwanza kwa msanii huyo kutoa kauli kama hizo kwani hapo awali alishawahi kusema pia anatamani kumpatia mwanaume atakaye funga naye ndoa watoto wawili ili aweze kukamilisha idadi ya watoto wanne ambao ni ndoto yake aliyekuwa nayo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
This comment has been removed by the author.
ReplyDelete