Natamani Kupata Mimba Ila Simtamani Atakayenipa- Snura

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Natamani Kupata Mimba Ila Simtamani Atakayenipa- Snura
Msanii wa bongo fleva, Snura Mushi maarufu kama Malkia wa uswazi ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake mpya wa 'zungusha' amefunguka na kudai anatamani kupata ujauzito ila hamtamani atakayempa.

Snura ameeleza hisia zake hizo kupitia mtandao wake wa kijamii wa Instagram asubuhi ya leo na kufanya kuwashangaza watu kwa kile alichokiandika, huku wengine wakitaka kupatiwa wao nafasi hiyo ya kumpatia ujauzito.

"Nimetamani mimba ila sijamtamani mwenye kunipa mimba", ameandika Snura.
Hii si mara ya kwanza kwa msanii huyo kutoa kauli kama hizo kwani hapo awali alishawahi kusema pia anatamani kumpatia mwanaume atakaye funga naye ndoa watoto wawili ili aweze kukamilisha idadi ya watoto wanne ambao ni ndoto yake aliyekuwa nayo.



----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad