Zamaradi Ambwaga Bosi wa Clouds, Aolewa na Mwanaume Mwingine

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mtangazaji wa kipindi cha Take One cha Clouds TV, Zamaradi Mketema amefunga ndoa wiki hii na kijana anayedaiwa kuwa ni mtoto wa kigogo.

Mrembo huyo ambaye ni mama wa watoto wawili, amepost picha akiwa mtandaoni akiwa na mwanaume huyo aliyefunga naye na kuandika ujumbe wa kumshukuru mungu.

“ALHAMDULILLAH!!,” aliandika Zamaradi baada ya kupost picha hiyo hapo juu.
Rafiki wa karibu wa Zamaradi, Faiza Ally amempongeza rafiki yake huyo kwa kumtakia maisha marefu katika ndoa yake.


“Bismalah mashallah @zamaradimketema ndoa yako iwe ya kheri Inshallah,” aliandika Faiza Ally.
Wadau wa mambo wanadai mume wake huyo ni mtoto wa Kigogo mzito na inadaiwa wamekuwa pamoja kwenye mahusiano kwa miaka kadhaa sio wa kukurupukia ndoa kama wengine wanavyodhani.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad