AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mrembo huyo ambaye ni mama wa watoto wawili, amepost picha akiwa mtandaoni akiwa na mwanaume huyo aliyefunga naye na kuandika ujumbe wa kumshukuru mungu.
“ALHAMDULILLAH!!,” aliandika Zamaradi baada ya kupost picha hiyo hapo juu.Rafiki wa karibu wa Zamaradi, Faiza Ally amempongeza rafiki yake huyo kwa kumtakia maisha marefu katika ndoa yake.
“Bismalah mashallah @zamaradimketema ndoa yako iwe ya kheri Inshallah,” aliandika Faiza Ally.Wadau wa mambo wanadai mume wake huyo ni mtoto wa Kigogo mzito na inadaiwa wamekuwa pamoja kwenye mahusiano kwa miaka kadhaa sio wa kukurupukia ndoa kama wengine wanavyodhani.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Ruge hana Chake tena
ReplyDelete