AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mapema leo hii Diamond amekiri kuwa mtoto wa Hamissa ni mwanaye licha ya kuwa katika mahusiano na Baby Mama wake, Zari The boss Lady. Katika mtandao wa Instagram Shamsa ameandika ujumbe mfupi na kueleza kuwa Zari anastahili pongezi kwa kujua yote na kuamua kukaa kimya.
Kiukweli anasitahili pongezi kubwa sana, najaribu kuvaa viatu vyake kama mwanamke nayaona maumivu yake la pamoja na yote hakuna mwanaume asiyecheat. Zari endelea kumpenda Nassibu wako kamwe usimuache kwa ajili ya mwanamke mwenzio. NCHI YAKO IKIVAMIWA UNATAKIWA KUPAMBANA NA SI KUKIMBIA.
Ujumbe wa Shamsa ni katika post ya Steve Nyerere ambaye naye aliandika, “Wewe ni Malkia wa nguvu na yote yaliyopita bado umesimama na mmeo kuangalia watoto, Be Strong”.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK