Madam Rita Awacharua Wanaosema ‘BSS’ Hailipi Washindi wake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kumekuwa na maswali mengi miongoni mwa wafuatiliaji wa shindano la kusaka vibaji Tanzania lijulikanalo kama Bongo Star Search kuhusu uhalali wa zawadi ya milioni 50 kwa washindi wake, huku wengi wakidai kuwa pesa hizo hazilipwi zote kwa washindi.


Sasa Mkurugenzi wa Benchmark Production, Rita Paulsen ameweka wazi tuhuma hizo kwa kuwacharua watu wanaohoji uhalali wa utoaji wa zawadi ya milioni 50 kwa kuwambia ni chuki zao tu kwani wengi wao hawajawahi kukamata hata milioni 10.

“Hii show ipo kwa miaka kumi unategemea mimi na own nchi, unafikiria kwamba hiyo ishu ingekuwa ipo hivyo BASATA ingekuwa haijawahi kufungia Bongo Star Search, watu hawana sehemu ya kwenda kushitaki? kwanini hamuwaiti hapa mkawauliza, nyinyi mnaona kwamba ni kitu hakiwezekani mtu kutoa milioni 5o, kwangu its very easy roho yangu ipo hivyo, kwa hiyo wote hakuna hata mtu mmoja hajawahi kupata hela yake milioni 50,”amesema Madam Rita na kuanza kuwacharua watu wanaohoji mkanganyiko wa utoaji wa zawadi hiyo.


“Tanzania hii mtu atakuwa hajapewa hela zake tuendelee kuwepo BSS iende mwaka wa tisa mwaka wa ngapi, hii nchi ni ya kwangu? hayo ni maswali ya kijinga“,amesema Madam Rita huku  akisisitiza kuwa “Hao wanaosema hivyo wanawaonea wivu, they are just haters, watu wamepata hela zao, huyo aliyeuliza utakuta hajawahi kushika hata milioni 10,“amemjibu mdau  aliyehoji uhalali wa zawadi ya milioni 50 kupitia kipindi cha Maisha Mseto cha Times FM.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad