AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Shilole amesema atafunga ndoa na mpenzi wake wa sasa Ashraf Uchebe Desema 20 siku ambayo ataadhimisha siku yake ya kuzaliwa.
Kauli hiyo imekuja siku chache baada ya kuibuka utata kufuatia akaunti moja ya Instagram inayosomeka jina la Uchebe kuandika maneno ya kumkejeli mwanamuziki huyo.
Shilole ameeleza kuwa akaunti hiyo si ya mpenzi wake bali imetengenezwa na watu wasiowatakia mema.
"Mpenzi wangu hana akaunti, watu wanataka kutuharibia sasa nawaambia wameshindwa na tunafunga ndoa," amesema Shilole.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK