Shilole Ametangaza Ndoa Yake na Uchebe Desemba 20 Mwaka Huu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Shilole Ametangaza Ndoa Yake  na Uchebe Desemba 20 Mwaka Huu
Hatimaye nyota wa filamu na muziki nchini, Zuwena Mohammed maarufu kama Shilole ametangaza kuwa atafunga ndoa mwishoni mwa mwaka huu.

Shilole amesema atafunga ndoa na mpenzi wake wa sasa Ashraf Uchebe  Desema 20 siku ambayo  ataadhimisha siku yake ya kuzaliwa.

Kauli hiyo imekuja siku chache baada ya kuibuka utata kufuatia akaunti moja ya Instagram inayosomeka jina la Uchebe kuandika maneno ya kumkejeli mwanamuziki huyo.

Shilole ameeleza kuwa akaunti hiyo si ya mpenzi wake bali imetengenezwa na watu wasiowatakia mema.

 "Mpenzi wangu hana akaunti,  watu wanataka kutuharibia sasa nawaambia wameshindwa na tunafunga ndoa," amesema Shilole.


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad