AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mitandao miwili iliruhusiwa kuona aina mbili ya tekenolojia ya iOS kabla ya siku kuzinduliwa.
Taarifa zilizofichuliwa ni za simu ya iPhone X pamoja na ya simu mbili aina ya iPhone 8.
Mwandishi mmoja wa masuala ya teknolojia huo ndio ufujaji mkubwa zaidi katika kampuniya Apple.
Apple inatarajiwa kuzindua kifaa kipya kwenye makoa yake makuu siku ya Jumanne.
Kampuni hiyo yenye makao yake huko California hujitahidi kuficha siri za teknlojia yake hadi wakati wa uzinduzi wa vifaa vyake.
Hata hivyo taarifa kuhusu vigaa vipya vya Apple zlifichuliwa Agosti,
Wakati hilo likionekana kufanyika kimakosa, imedaiwa lakini ufujaji wa hivi majuzi ulikwa wa makusudi.
Hata hivyo BBC imebaini kuwa mtu asiyejulikana alichapisha anwani za iOS 11 zinazofahamika kama golden master (GM) ambazo zilifungua teknolojia katika komputa za Apple.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK