AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Dudubaya alipata nafasi ya kupanda jukwaa la Fiesta Mwanza baada ya kuitwa jukwaani na msanii Bernard Paul ‘Ben Pol’.
Akizungumza na Championi Jumamosi, Dudubaya aliyetamba na ngoma kibao kama Mpenzi, Nakupenda Tu na nyinginezo kibao amesema anatamani kuendelea kuonyesha makeke yake baada ya kupata sapoti kubwa kutoka kwa mashabiki wakati akikamua kwenye tamasha hilo.
“Kiukweli natamani nipate tena nafasi ya kupanda jukwaani kwenye Fiesta kwa sababu ya mapokeo ya aina yake niliyoyapata wakati nikiimba ngoma zangu ambazo ziliwakosha watu wengi akiwemo mkuu wa mkoa wa hapa,” alisema Dudu Baya.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK