AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza kwenye kipindi cha East Africa Breakfast kinachorushwa na East Africa Radio, TID amesema sababu inayomsukuma kugombea nafasi hiyo ni kutokana na mbunge wa sasa kushindwa kulitimizia mahitaji yake jimbo hilo, hivyo atatumia nafasi hiyo kuhakikisha anamng'oa ifikapo 2020, kwa kuwa yeye anafahamu vizuri matatizo ya Kinondoni kutokana na kuwa mzawa wa mahali hapo.
Akiendelea kuzungumzia suala hilo, TID amesema iwapo atapewa dhamana ya kuliongoza jimbo hilo, atahakikisha anatatua matatizo yote yanayowakabili watu wa Kinondoni, likiwemo janga la madawa ya kulevya.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Balaa duniani!Muziki umeanza kukushinda nini dogo?Maana kwenye nchi nyingine kwa hizo scandals zako nyingi na kuwahi mpaka kufungwa jela hauna chance kabisa ya kuongoza au kuiwakilisha jamii kivyovyote vile kwani wewe tayari ni mfano mbaya ndani ya jamii lakini kibongo bongo watakupa nafasi hiyo na baadaye watajuta kwanini walikuchagua
ReplyDeleteNa kula unga amuachie nani
ReplyDelete