Aunt Ezekiel Amshushia Mvua ya Matusi Aliyemtongoza Mose Iyobo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Aunt Ezekiel Amshushia Mvua ya Matusi Aliyemtongoza Mose Iyobo
USIONE chaelea kimeundwa! Huo ndiyo msemo uliopo akilini mwa muigizaji nyota nchini, Aunt Ezekiel, ambaye yu mapenzini na dansa, Mose Iyobo, ambapo ameshusha mvua ya matusi kwa mtu asiyejulikana kwa kile anachodai kuwa mtu huyo, anamtongoza mwandani wake kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram.

Aunt alijikuta akijivua sifa ya mwanamke mwenye roho ya Kizungu, baada ya kushuhudia ‘vimeseji’ Inbox kwenye akaunti ya Mose ya Instagram, akitongozwa na mtu ambaye anamfahamu na huenda ni shoga’ake, ila hajataka kuweka wazi ni nani.
Kitu kikubwa alichokuwa akilalamikia Aunt, ni kwa nini hawakumtongoza Mose kipindi ambacho hakuwa naye? Tangu kamkamata na kumpa matunzo ndiyo wanamnyapianyapia!
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad