Idriss Sultan Hana ‘Ngoma’ Aweka Majibu Hadharani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mshindi wa Big Brother Africa 2014 Idris Sultan ameweka wazi vipimo vinavyoonyesha kuwa hana virusi vya ukimwi.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Idris ameweka picha inayoonyesha karatasi yenye majibu ya vipimo ya afya yake alivyovifanya leo Ijumaa.

Karatasi hiyo inaonyesha kuwa hana virusi vya ukimwi wala homa ya ini.

Picha hiyo ilibebwa na ujumbe uliosomeka, "Barua ya wazi kwa  mwanamke ninayemtongoza ni matumaini yangu  hii itakufanya unipe moyo wako wote. Nimejaribu kufaulu lakini kama unavyoona vipimo vyote nimefeli na hakuna mtihani ninaoupenda kama kufeli.”
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad